scripture.how 성경필사
KO

Copywork

Swahili 1850 마가복음 9장

성경필사는 빠르게 끝내는 입력 훈련이 아니라, 한 절씩 말씀의 문장과 흐름을 다시 붙드는 시간입니다. 입력 내용은 이 브라우저에 임시 저장되며, 로그인하면 계정에도 저장됩니다.

KO 한국어
ZH 중국어
JA 일본어
HI 힌디어
BN 벵골어
TA 타밀어
TE 텔루구어
ML 말라얄람어
FA 페르시아어
MY 버마어
NE 네팔어
MR 마라티어
KN 칸나다어
HA 하우사어
YO 요루바어
SW 스와힐리어
IG 이그보어
ID 인도네시아어
TSI
PT 포르투갈어
VI 베트남어
AR 아랍어
AVD
RU 러시아어
UK 우크라이나어
RO 루마니아어
BTF
IT 이탈리아어
FI 핀란드어
TO 통가어
HR 크로아티아어
SR 세르비아어
TR 튀르키예어
HU 헝가리어
PL 폴란드어
SK 슬로바키아어
LA 라틴어
NL 네덜란드어
CS 체코어
FR 프랑스어
ES 스페인어
DE 독일어
ETC 기타 언어

소제목 단위로 진행 · 마가복음

1:1-6 The Beginning of the Gospel and the Cry of John the Baptist 1:7-8 The Testimony of John the Baptist 1:9-11 The Baptism of Jesus 1:12-13 The Temptation in the Wilderness 1:14-15 Jesus Proclaims the Kingdom of God in Galilee 1:16-20 Jesus Calls Four Fishermen as Disciples 1:21-28 Jesus Drives Out an Unclean Spirit in the Synagogue 1:29-31 Jesus Heals Peter's Mother-in-Law 1:32-34 Jesus Heals Many at Evening 1:35-39 Prayer in a Solitary Place and a Preaching Tour 1:40-45 Jesus Cleanses a Leper 2:1-12 Jesus Heals a Paralytic 2:13-17 The Calling of Matthew the Tax Collector 2:18-22 A Question About Fasting and the Parable of New Wine 2:23-28 Jesus Passes Through the Grainfields on the Sabbath 3:1-6 Jesus Heals a Man with a Withered Hand on the Sabbath 3:7-12 Great Crowds Gather by the Sea 3:13-19 Jesus Appoints the Twelve Disciples 3:20-21 The Family Who Tried to Seize Jesus 3:22-30 The Beelzebul Controversy 3:31-35 Who Are Jesus' True Family 4:1-9 The Parable of the Sower 4:10-12 The Reason for Speaking in Parables 4:13-20 Jesus Explains the Parable of the Sower 4:21-25 Lessons of the Lamp and the Measure 4:26-29 The Parable of the Growing Seed 4:30-32 The Parable of the Mustard Seed 4:33-34 The Conclusion on Teaching in Parables 4:35-41 Jesus Calms the Storm 5:1-20 The Gerasene Demoniac 5:21-43 Jairus' Daughter and the Woman with a Hemorrhage 6:1-6 Jesus Rejected at Nazareth 6:7-13 Jesus Sends Out the Twelve 6:14-29 Herod's News and the Death of John the Baptist 6:30-44 Jesus Feeds the Five Thousand 6:45-52 Jesus Walks on the Water 6:53-56 Jesus Heals the Sick at Gennesaret 7:1-13 Jesus Rebukes the Tradition of the Elders 7:14-23 What Truly Defiles a Person 7:24-30 The Faith of the Syrophoenician Woman 7:31-37 Jesus Heals a Deaf and Mute Man 8:1-10 Jesus Feeds the Four Thousand 8:11-13 The Pharisees Demand a Sign 8:14-21 Beware the Leaven of the Pharisees and Herod 8:22-26 Jesus Heals a Blind Man at Bethsaida 8:27-30 Peter's Confession of Faith 8:31-33 Jesus Foretells His Suffering and Death for the First Time 8:34-38 Deny Yourself and Take Up Your Cross 9:1 The Kingdom of God Coming in Power 9:2-10 The Transfiguration 9:11-13 The Question About Elijah Coming First 9:14-29 Jesus Heals a Boy with an Unclean Spirit 9:30-32 Jesus Foretells His Death and Resurrection a Second Time 9:33-37 Who Is the Greatest 9:38-41 Whoever Is Not Against Us Is for Us 9:42-50 A Warning Against Causing Others to Stumble 10:1-12 Teaching on Divorce 10:13-16 Jesus Blesses the Little Children 10:17-31 The Rich Young Man 10:32-34 Jesus Foretells His Suffering a Third Time 10:35-45 The Request of James and John and the Way of Service 10:46-52 Jesus Heals Blind Bartimaeus at Jericho 11:1-11 The Triumphal Entry into Jerusalem 11:12-14 Jesus Curses the Fig Tree 11:15-19 Jesus Cleanses the Temple 11:20-26 The Withered Fig Tree and the Prayer of Faith 11:27-33 By What Authority Are You Doing These Things 12:1-12 The Parable of the Tenants 12:13-17 Paying Taxes to Caesar 12:18-27 The Sadducees Dispute About the Resurrection 12:28-34 The Greatest Commandment 12:35-37 Is the Christ the Son of David 12:38-40 A Warning Against the Scribes 12:41-44 The Widow's Two Coins 13:1-37 The Olivet Discourse (Signs of the End) 14:1-2 The Plot to Kill Jesus 14:3-9 Mary Anoints Jesus with Perfume 14:10-11 Judas Agrees to Betray Jesus 14:12-16 Preparing the Passover Meal 14:17-21 Jesus Foretells His Betrayal 14:22-26 The Institution of the Lord's Supper 14:27-31 Jesus Foretells Peter's Denial 14:32-42 Jesus Prays in Gethsemane 14:43-52 The Arrest of Jesus 14:53-65 Jesus Before the Sanhedrin 14:66-72 Peter Denies Jesus 15:1-15 Jesus Before Pilate 15:16-20 The Soldiers Mock Jesus 15:21-32 The Crucifixion 15:33-41 The Death of Jesus 15:42-47 The Burial of Jesus 16:1-8 The Resurrection 16:9-11 Jesus Appears to Mary Magdalene 16:12-13 Jesus Appears to Two Disciples 16:14-18 Jesus Appears to the Eleven and Commissions the Gospel 16:19-20 Jesus Is Taken Up to Heaven and the Disciples Preach
9:1
대기

Yesu akaendelea kuwaambia, “Kweli nawaambieni, wako wengine papa hapa ambao hawatakufa kabla ya kuuona Ufalme wa Mungu ukija kwa enzi.”

9:2
대기

Baada ya siku sita, Yesu aliwachukua Petro, Yakobo na Yohane juu ya mlima mrefu peke yao. Huko, Yesu akageuka sura mbele yao,

9:3
대기

mavazi yake yakang'aa, yakawa meupe sana, jinsi dobi yeyote duniani asingeweza kuyafanya meupe.

9:4
대기

Eliya na Mose wakawatokea, wakazungumza na Yesu.

9:5
대기

Petro akamwambia Yesu, “Mwalimu, ni vizuri sana kwamba tuko hapa. Basi, afadhali tujenge vibanda vitatu: kimoja chako, kimoja cha Mose na kimoja cha Eliya.”

9:6
대기

Yeye na wenzake waliogopa hata hakujua la kusema.

9:7
대기

Kisha likatokea wingu likawafunika, na sauti ikasikika kutoka katika hilo wingu, “Huyu ni Mwanangu mpendwa, msikilizeni.”

9:8
대기

Mara wanafunzi hao wakatazama tena, lakini hawakumwona mtu mwingine, ila Yesu peke yake pamoja nao.

9:9
대기

Walipokuwa wakishuka mlimani, Yesu aliwakataza wasimwambie mtu yeyote mambo waliyoyaona, mpaka Mwana wa Mtu atakapokuwa amefufuka kutoka wafu.

9:10
대기

Basi, wakashika agizo hilo, lakini wakawa wanajadiliana wao kwa wao maana ya kufufuka kutoka wafu.

9:11
대기

Wakamwuliza Yesu, “Mbona walimu wa Sheria wanasema kwamba ni lazima Eliya aje kwanza?”

9:12
대기

Naye akawajibu, “Naam, Eliya anakuja kwanza kutayarisha yote. Hata hivyo, kwa nini basi imeandikwa katika Maandiko Matakatifu kwamba Mwana wa Mtu atapatwa na mateso mengi na kudharauliwa?

9:13
대기

Lakini nawaambieni, Eliya amekwisha kuja, nao wakamtendea walivyotaka kama ilivyoandikwa juu yake.”

9:14
대기

Walipowafikia wale wanafunzi wengine, waliona umati mkubwa wa watu hapo. Na baadhi ya walimu wa Sheria walikuwa wanajadiliana nao.

9:15
대기

Mara tu ule umati wa watu ulipomwona, wote walishangaa sana, wakamkimbilia wamsalimu.

9:16
대기

Yesu akawauliza, “Mnajadiliana nini nao?”

9:17
대기

Hapo mtu mmoja katika ule umati wa watu akamjibu, “Mwalimu, nimemleta mwanangu kwako, ana pepo aliyemfanya kuwa bubu.

9:18
대기

Kila mara anapomvamia, humwangusha chini na kumfanya atokwe na povu kinywani, akisaga meno na kuwa mkavu mwili wote. Niliwaomba wanafunzi wako wamtoe huyo pepo lakini hawakuweza.”

9:19
대기

Yesu akawaambia, “Enyi kizazi kisicho na imani! Nitakaa nanyi mpaka lini? Nitawavumilia mpaka lini? Mleteni kwangu.”

9:20
대기

Wakampeleka. Mara tu huyo pepo alipomwona Yesu, alimtia mtoto kifafa, naye mtoto akaanguka chini, akagaagaa na kutoka povu kinywani. Yesu akamwuliza baba yake huyo mtoto,

9:21
대기

“Amepatwa na mambo hayo tangu lini?” Naye akamjibu, “Tangu utoto wake.

9:22
대기

Na mara nyingi pepo huyo amemwangusha motoni na majini, ili amwangamize kabisa. Basi, ikiwa waweza, utuhurumie na kutusaidia!”

9:23
대기

Yesu akamwambia, “Eti ikiwa waweza! Mambo yote yanawezekana kwa mtu aliye na imani.”

9:24
대기

Hapo, huyo baba akalia kwa sauti, “Naamini! Lakini imani yangu haitoshi, nisaidie!”

9:25
대기

Yesu alipouona umati wa watu unaongezeka upesi mbele yake, alimkemea yule pepo mchafu, “Pepo unayemfanya huyu mtoto kuwa bubu-kiziwi, nakuamuru, mtoke mtoto huyu wala usimwingie tena!”

9:26
대기

Hapo huyo pepo alipaaza sauti, akamwangusha huyo mtoto chini, kisha akamtoka. Mtoto alionekana kama maiti, hata wengine walisema, “Amekufa!”

9:27
대기

Lakini Yesu akamshika mkono, akamwinua, naye akasimama.

9:28
대기

Yesu alipoingia nyumbani, wanafunzi wake walimwuliza kwa faragha, “Kwa nini sisi hatukuweza kumtoa?”

9:29
대기

Naye akawaambia, “Pepo wa aina hii hawezi kutoka isipokuwa kwa sala tu.”

9:30
대기

Yesu na wanafunzi wake waliondoka hapo, wakaendelea na safari kupitia wilaya ya Galilaya. Yesu hakupenda watu wajue alipokuwa,

9:31
대기

kwa sababu alikuwa anawafundisha wanafunzi wake. Aliwaambia, “Mwana wa Mtu atakabidhiwa kwa watu ambao watamuua; lakini siku ya tatu baada ya kuuawa atafufuka.”

9:32
대기

Wanafunzi hawakufahamu jambo hilo. Wakaogopa kumwuliza.

9:33
대기

Basi, walifika Kafarnaumu. Na alipokuwa nyumbani, aliwauliza, “Mlikuwa mnajadiliana nini njiani?”

9:34
대기

Lakini wao wakanyamaza, maana njiani walikuwa wamebishana ni nani aliye mkuu kati yao.

9:35
대기

Yesu akaketi chini, akawaita wale kumi na wawili, akawaambia, “Yeyote anayetaka kuwa wa kwanza lazima awe wa mwisho na kuwa mtumishi wa wote.”

9:36
대기

Kisha akamchukua mtoto mdogo, akamsimamisha kati yao, akamku mbatia, halafu akawaambia,

9:37
대기

“Anayempokea mtoto kama huyu kwa jina langu, ananipokea mimi; na anayenipokea mimi, hanipokei mimi tu, bali anampokea yule aliyenituma.”

9:38
대기

Yohane akamwambia, “Mwalimu, tumemwona mtu mmoja akitoa pepo kwa kulitumia jina lako, nasi tukajaribu kumkataza kwa kuwa yeye si mmoja wetu.”

9:39
대기

Lakini Yesu akasema, “Msimkataze, maana hakuna mtu anayefanya muujiza kwa jina langu, na papo hapo akaweza kusema mabaya juu yangu.

9:40
대기

Maana, asiyepingana nasi, yuko upande wetu.

9:41
대기

Mtu yeyote atakeyewapeni kikombe cha maji ya kunywa kwa sababu ninyi ni watu wake Kristo, hakika hatakosa kupata tuzo lake.

9:42
대기

“Mtu yeyote atakayemfanya mmoja wa hawa wadogo wanaoniamini atende dhambi, ingekuwa afadhali kwa mtu huyo kufungiwa shingoni mwake jiwe kubwa la kusagia na kutupwa baharini.

9:43
대기

Mkono wako ukikukosesha, ukate! Afadhali kuingia kwenye uzima bila mkono mmoja, kuliko kuwa na mikono miwili na kwenda katika moto wa Jehanamu.

9:44
대기

Humo, wadudu wake hawafi na moto hauzimiki.

9:45
대기

Na mguu wako ukikukosesha, ukate! Afadhali kuingia katika uzima bila mguu mmoja, kuliko kuwa na miguu yote miwili na kutupwa katika moto wa Jehanamu.

9:46
대기

Humo, wadudu wake hawafi na moto hauzimiki.

9:47
대기

Na jicho lako likikukosesha, ling'oe! Afadhali kuingia katika utawala wa Mungu ukiwa na jicho moja tu, kuliko kuwa na macho yako yote mawili na kutupwa katika moto wa Jehanamu.

9:48
대기

Humo wadudu wake hawafi, na moto hauzimiki.

9:49
대기

“Maana kila mmoja atakolezwa kwa moto.

9:50
대기

Chumvi ni nzuri, lakini ikipoteza ladha yake, itakolezwa na nini? Muwe na chumvi ndani yenu na kudumisha amani kati yenu.”