場景 1 · 돌이 옮겨져 있었어요
Alfajiri na mapema Jumapili, kukiwa bado na giza, Maria Magdalene alikwenda kaburini, akaliona lile jiwe limeondolewa mlangoni pa kaburi. Basi, akaenda mbio hadi kwa Petro na yule mwanafunzi mwingine ambaye Yesu alimpenda, akawaambia, “Wamemwondoa Bwana kaburini, na wala hatujui walikomweka.” 约 20:1-2
場景 2 · 세마포가 놓여 있었어요
Petro pamoja na yule mwanafunzi mwingine wakaenda kaburini. Wote wawili walikimbia lakini yule mwanafunzi mwingine alikimbia mbio zaidi kuliko Petro, akatangulia kufika kaburini. Alipoinama na kuchungulia ndani, aliona sanda, lakini hakuingia ndani. Simoni Petro naye akaja akimfuata, akaingia kaburini; humo akaona sanda, na kile kitambaa alichofungwa Yesu kichwani. Hicho kitambaa hakikuwekwa pamoja na hiyo sanda, bali kilikuwa kimekunjwa na kuwekwa mahali peke yake. Kisha yule mwanafunzi mwingine aliyemtangulia kufika kaburini, akaingia pia ndani, akaona, akaaamini. (Walikuwa bado hawajaelewa Maandiko Matakatifu yaliyosema kwamba ilikuwa lazima afufuke kutoka wafu). Basi, hao wanafunzi wakarudi nyumbani. 约 20:3-10
場景 3 · 여자여, 왜 우느냐
Maria alikuwa amesimama nje ya kaburi, akilia. Huku akiwa bado analia, aliinama na kuchungulia kaburini, akawaona malaika wawili waliovaa mavazi meupe, wameketi pale mwili wa Yesu ulipokuwa umelazwa, mmoja kichwani na wa pili miguuni. Hao malaika wakamwuliza, “Mama, kwa nini unalia?” Naye akawaambia, “Wamemwondoa Bwana wangu, na wala sijui walikomweka!” 约 20:11-13
場景 4 · 마리아야
Baada ya kusema hayo, aligeuka nyuma, akamwona Yesu amesimama hapo, lakini asitambue ya kuwa ni Yesu. Yesu akamwuliza, “Mama, kwa nini unalia? Unamtafuta nani?” Maria, akidhani kwamba huyo ni mtunza bustani, akamwambia, “Mheshimiwa, kama ni wewe umemwondoa, niambie ulikomweka, nami nitamchukua.” Yesu akamwambia, “Maria!” Naye Maria akageuka, akamwambia kwa Kiebrania, “Raboni” (yaani “Mwalimu”). Yesu akamwambia, “Usinishike; sijakwenda bado juu kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu uwaambie: nakwenda juu kwa Baba yangu na Baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu.” Hivyo Maria Magdalene akaenda akawapa habari wale wanafunzi kuwa amemwona Bwana, na kwamba alikuwa amemwambia hivyo. 约 20:14-18
場景 5 · 너희에게 평안이 있을지어다
Ilikuwa jioni ya siku hiyo ya Jumapili. Wanafunzi walikuwa wamekutana pamoja ndani ya nyumba, na milango ilikuwa imefungwa kwa sababu waliwaogopa viongozi wa Wayahudi. Basi, Yesu akaja, akasimama kati yao, akawaambia, “Amani kwenu!” Alipokwisha sema hayo, akawaonyesha mikono yake na ubavu wake. Basi, hao wanafunzi wakafurahi mno kumwona Bwana. 约 20:19-20
場景 6 · 나도 너희를 보내노라
Yesu akawaambia tena, “Amani kwenu! Kama vile Baba alivyonituma mimi, nami nawatuma ninyi.” Alipokwisha sema hayo, akawapulizia na kuwaambia, “Pokeeni Roho Mtakatifu. Mkiwasamehe watu dhambi zao, wamesamehewa; msipowaondolea, hawasamehewi.” 约 20:21-23
場景 7 · 나의 주님, 나의 하나님
Thoma mmoja wa wale kumi na wawili (aitwaye Pacha), hakuwa pamoja nao wakati Yesu alipokuja. Basi, wale wanafunzi wengine wakamwambia, “Tumemwona Bwana.” Thoma akawaambia, “Nisipoona mikononi mwake alama za misumari, na kutia kidole changu katika kovu hizo, na kutia mkono wangu ubavuni mwake, sitasadiki.” Basi, baada ya siku nane hao wanafunzi walikuwa tena pamoja mle ndani, na Thoma alikuwa pamoja nao. Milango ilikuwa imefungwa, lakini Yesu akaja, akasimama kati yao, akasema, “Amani kwenu!” Kisha akamwambia Thoma, “Lete kidole chako hapa uitazame mikono yangu; lete mkono wako ukautie ubavuni mwangu. Usiwe na mashaka, ila amini!” Thoma akamjibu, “Bwana wangu na Mungu wangu!” Yesu akamwambia, “Je, unaamini kwa kuwa umeniona? Heri yao wale ambao hawajaona, lakini wameamini.” 约 20:24-29
場景 8 · 믿고 생명을 얻게 하려 함이라
Yesu alifanya mbele ya wanafunzi wake ishara nyingine nyingi ambazo hazikuandikwa katika kitabu hiki. Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini kwamba Yesu ni Kristo, Mwana wa Mungu; na kwa kuamini mpate kuwa na uzima kwa nguvu ya jina lake. 约 20:30-31
聖經筆記說明
可確認目前聖經筆記作者為一同閱讀而整理的色彩意義、專欄、概念辭典、格式用語。
第 1 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 2 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 3 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 4 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 5 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 6 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 7 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 8 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 9 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 11 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 12 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 13 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 14 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 15 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 16 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 17 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 18 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 19 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 20 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 21 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 22 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 23 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 24 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 25 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 26 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 27 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 28 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 29 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 30 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.
第 31 節留言
尚無已登錄的留言。
로그인 후 댓글을 남길 수 있습니다.